KINYWAJI CHA NDIZI NA MAZIWA ( BANANA MILK
SHAKE)
Ndizi
2
Maziwa vikombe 2
Vikjiko vya Asali/Sukari 2
Vipande vya barafu 8
Limao/Ndimu 1
JINSI YA KUANDAA
·
Osha ndizi vizuri,menya katakata weka kwenye blender
·
Mimina na vitu vyote vilivyobakia(Maziwa,asali,barafu na Limao)
·
Saga mpaka itoe kitu kama povu
·
Mimina katika glass tayari kwa kunywa
N.B
Kama hauna vipande vya barafu,saga
alafu weka katika fridge unywe baada ya kupata baridi kiasi.
FAIDA ZAKE.
- Inapunguza hatari ya magonjwa ya moyo,kisukari na pressure.
- Inasaidia kumeng’enya chakula
- Inaondoa msongo wa mawazo
- Inapunguza maumivu wakati wa hedhi
- Ina madini mengi ya Pottasium na Iron
- Inaongeza uwezo wa kufikiri
- Inaongeza nguvu mwilini
- Inapunguza maumivu ya vidonda vya tumbo.
- Inapunguza hatari ya magonjwa ya moyo,kisukari na pressure.
- Inasaidia kumeng’enya chakula
- Inaondoa msongo wa mawazo
- Inapunguza maumivu wakati wa hedhi
- Ina madini mengi ya Pottasium na Iron
- Inaongeza uwezo wa kufikiri
- Inaongeza nguvu mwilini
- Inapunguza maumivu ya vidonda vya tumbo.
Ahsante,
Rahma Chuma./Image by Fauzia M. Afif
No comments:
Post a Comment